• Tanzania Adapts: Ukweli mchungu kuhusu mabadiliko ya tabia ya nchi.

  • Jun 21 2023
  • Length: 26 mins
  • Podcast
Tanzania Adapts: Ukweli mchungu kuhusu mabadiliko ya tabia ya nchi. cover art

Tanzania Adapts: Ukweli mchungu kuhusu mabadiliko ya tabia ya nchi.

  • Summary

  • In this Episode Marygoreth Richard seats with Prof. Dr. Aidan Msafiri (PhD), A University lecturer, UN climate change Ambassador for Tanzania and a Founder and Managing Director of Kilimanjaro Consortium Development and Environment Ecoplus (KCDE). In this fascinating conversation Prof Aidan goes back to the history and science behind climate change and its effects globally and in the country and ways in which we can adapt to those changes.


    Katika Episode hii Marygoreth Richard anazungumza na Prof. Dr. Aidan Msafiri (PhD), Mhadhiri wa Chuo Kikuu, Balozi wa mabadiliko ya tabia ya nchi wa Umoja wa mataifa nchini Tanzania lakini pia ni mwanzilishi wa Kilimanjaro Consortium Development and Environment Ecoplus (KCDE). Katika mazungumzo haya Prof Aidan anaturudisha kwenye historia na sayansi nyuma ya mabadiliko ya tabia ya nchi na namna yanavyoendelea na yatakavyoendelea kuleta athari kama hatua hazitachukuliwa. Ametaja hatua mbalimbali za kukabiliana na mabadiliko hayo kuanzia ngazi ya familia mpaka taifa.


    Hosted on Acast. See acast.com/privacy for more information.

    Show More Show Less

What listeners say about Tanzania Adapts: Ukweli mchungu kuhusu mabadiliko ya tabia ya nchi.

Average Customer Ratings

Reviews - Please select the tabs below to change the source of reviews.

In the spirit of reconciliation, Audible acknowledges the Traditional Custodians of country throughout Australia and their connections to land, sea and community. We pay our respect to their elders past and present and extend that respect to all Aboriginal and Torres Strait Islander peoples today.