• Australia kutambua utaifa wa Palestina
    Aug 14 2025
    Australia ita tambua Palestina kama taifa katika mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa wa Septemba.
    Show More Show Less
    10 mins
  • Taarifa ya Habari 5 Agosti 2025
    Aug 5 2025
    Waziri wa mambo ya nje Penny Wong ame muhamasisha Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu, asikize wito wakisitisha vita mara moja Gaza.
    Show More Show Less
    12 mins
  • Tamasha ya Garma yawavutia wageni kutoka Australia na kwingineko
    Aug 5 2025
    Sherehe ya Garma katika Kijiji cha Kaskazini Mashariki Arnhem Land, cha Wilaya ya Kaskazini, ime tamatika kwa mwaka mwingine.
    Show More Show Less
    12 mins
  • SBS Learn Eng Ep 38 Jinsi ya kuzungumza kuhusu muziki
    Aug 5 2025
    Je, unajua jinsi ya kuzungumza kuhusu nyumba yako?
    Show More Show Less
    20 mins
  • Taarifa ya Habari 4 Agosti 2025
    Aug 4 2025
    Serikali ya shirikisho imetangaza msaada kwa Gaza uta ongezwa kwa $20 milioni hii leo Jumatatu 4 Agosti, masaa machache baada yamakumi yama elfu kutembea katika Daraja maarufu la bandari ya Sydney, jana Agosti 3, katika maandamano dhidi ya vita vinavyo endelea Gaza.
    Show More Show Less
    5 mins
  • Kenya, Uganda na Tanzania tayari kwa sherehe ya soka
    Aug 4 2025
    Wapenzi wa soka barani Afrika wana elekea Kenya, Uganda na Tanzania kuhudhuria michuano ya Afrika iliyo ahirishwa mwaka jana.
    Show More Show Less
    6 mins
  • Mvutano wakibiashara waibuka kati ya Tanzania na Kenya
    Aug 1 2025
    Kenya imepinga sheria mpya za biashara na kodi za Tanzania ikizitaja kuwa za kibaguzi na zinazohatarisha ushirikiano wa kiuchumi Afrika Mashariki.
    Show More Show Less
    8 mins
  • Taarifa ya Habari 1 Agosti 2025
    Aug 1 2025
    Waziri Mkuu Anthony Albanese ana enda kuhudhuria tukio kubwa linalo waleta pamoja wa Australia wa Asili katika wilaya ya Kaskazini.
    Show More Show Less
    15 mins