• Je, ni halali kiongozi wa Kanisa kujihusisha na Siasa?
    Oct 24 2025

    Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, leo tunaungana na Frater Daud Fungameza kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea, akijibu swali la msikilizaji linalosema Kanisa au kiongozi wa Kanisa kujihusisha na harakati za kisiasa au chama cha kisiasa inaruhusiwa?

    L'articolo Je, ni halali kiongozi wa Kanisa kujihusisha na Siasa? proviene da Radio Maria.

    Show More Show Less
    28 mins
  • Fahamu historia ya neno Misa
    Oct 24 2025

    Karibu katika kipindi cha Maswali yahusuyo Imani, leo tunaungana na Frater Daud Fungameza kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea, akijibu swali la msikilizaji linalosema neno Misa lilianza kutumika lini?

    L'articolo Fahamu historia ya neno Misa proviene da Radio Maria.

    Show More Show Less
    27 mins
  • Fahamu sababu 10 za kuzaa mtoto mwingine
    Oct 24 2025

    Karibu uungane nami Joyce Jonatus katika kipindi cha Pro Life Utetezi wa Uhai, mwezeshaji ni Godfly Mkaikuta, akitufundisha juu ya sababu 10 za kuzaa mtoto mwingine

    L'articolo Fahamu sababu 10 za kuzaa mtoto mwingine proviene da Radio Maria.

    Show More Show Less
    58 mins
  • Fahamu majukumu na wajibu wa Mlei?
    Oct 24 2025

    Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Utume wa Walei, mwezeshaji ni Bi. Rose Gerald Katibu wa Kamati ya Uinjilishaji Jimbo Kuu Katoliki Dar Es Salaam, akitufundisha juu ya wajibu wa Walei na majukumu yao.

    L'articolo Fahamu majukumu na wajibu wa Mlei? proviene da Radio Maria.

    Show More Show Less
    56 mins
  • Je, unafahamu sifa ya Mama Bikra Maria Malkia wa Imani?
    Oct 24 2025

    Karibu katika kipindi cha Tafakari Nasi, leo tunaungana na Padre Gidion Kitamboya kutoka Parokia ya Mtakatifu Luka Mwinjili Hembahemba Jimbo Kuu Katoliki Dodoma, akitufundisha juu ya Bikra Maria Malkia wa Imani.

    L'articolo Je, unafahamu sifa ya Mama Bikra Maria Malkia wa Imani? proviene da Radio Maria.

    Show More Show Less
    26 mins
  • Je, unafahamu maisha ya Mtakatifu Bartolongo?
    Oct 24 2025

    Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi,Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula {C.PP.S}, Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akitufundisha juu ya maisha ya Mtakatifu mpya Mtakatifu Bartolongo.

    L'articolo Je, unafahamu maisha ya Mtakatifu Bartolongo? proviene da Radio Maria.

    Show More Show Less
    58 mins
  • Nena nami Bwana Dominika ya 29 ya mwaka C wa Kanisa.
    Oct 24 2025

    Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Nena nami Bwana, ikiwa ni mafundisho kutoka kwa Mababa wa Kiroho kwa namna ya kipekee wanaonene nasi siku hii ya leo ni Mwadhama Protase Kardinali Rugambwa, Askofu Mkuu Jimbo Kuu Katoliki Tabora, Mhashamu Tarcisius Ngalalekumtwa, Askofu Mstaafu wa Jimbo Katoliki Iringa, Askofu Christopher Ndizeye wa Jimbo Katoliki […]

    L'articolo Nena nami Bwana Dominika ya 29 ya mwaka C wa Kanisa. proviene da Radio Maria.

    Show More Show Less
    57 mins
  • Amka na Mama kipindi cha Kawaida cha mwaka {sehemu ya tisini na nane}
    Oct 23 2025

    Ungana nami Martin Joseph katika kipindi cha Amka na Mama ikiwa ni mkusanyiko wa nyimbo mbalimbali za kuanzisha siku ya Bwana, hakika kuimba ni kusali mara mbili njooni tumwimbie Bwana katika Roho na kweli.

    L'articolo Amka na Mama kipindi cha Kawaida cha mwaka {sehemu ya tisini na nane} proviene da Radio Maria.

    Show More Show Less
    58 mins