Nyayo za Matumaini | Pr. Paul Semba
Failed to add items
Sorry, we are unable to add the item because your shopping cart is already at capacity.
Add to basket failed.
Please try again later
Add to Wish List failed.
Please try again later
Remove from Wish List failed.
Please try again later
Follow podcast failed
Unfollow podcast failed
-
Narrated by:
-
By:
About this listen
Sehemu kubwa tuyaonayo leo yanaweza kutupa kila sababu ya kukata tamaa na wakati mwingine kuhisi kana kwamba hakuna mahali tunaweza kupata tumaini. Mch. Semba katika somo la kwanza katika mikutano ya Kihonda NET Event anatufunulia pazia katika vita ile kubwa kati ya wema na uovu ulio chanzo cha vita, njaa, majanga na mabaya mengine mengi tunayoyaona leo. Lakini jambo jema ni kwamba vita hii itaisha na wema utashinda na hilo ndilo tumaini ambalo wakati wote tunapaswa kufuata nyayo zake...
Barikiwa na Bwana tunapozitembelea nyayo hizi za Matumaini....
No reviews yet
In the spirit of reconciliation, Audible acknowledges the Traditional Custodians of country throughout Australia and their connections to land, sea and community. We pay our respect to their elders past and present and extend that respect to all Aboriginal and Torres Strait Islander peoples today.