6. Yesu Kristo Alikuja kwa maji, kwa damu, na kwa Roho (1 Yohana 5:1-12)
Failed to add items
Sorry, we are unable to add the item because your shopping cart is already at capacity.
Add to basket failed.
Please try again later
Add to Wish List failed.
Please try again later
Remove from Wish List failed.
Please try again later
Follow podcast failed
Unfollow podcast failed
-
Narrated by:
-
By:
About this listen
Je, Yesu alikuja kwa maji? Ndiyo, alikuja. Alikuja kwa ubatizo Wake. Maji ni ubatizo wa Yesu uliotolewa na Yohana Mbatizaji katika Mto Yordani. Ulikuwa ubatizo wa ukombozi ambao kupitia huo aliondoa dhambi zote za ulimwengu.
Je, Yesu alikuja kwa damu? Ndiyo, alikuja. Alikuja katika mwili wa mwanadamu na akabatizwa ili kuondoa dhambi zote za ulimwengu, kisha akalipa mshahara wa dhambi kwa kumwaga damu juu ya msalaba. Yesu alikuja kwa damu.
Je, Yesu alikuja kwa Roho? Ndiyo, alikuja. Yesu alikuwa Mungu(God), lakini Yeye alikuja kama Roho katika mwili ili kuwa Mwokozi wa wenye dhambi.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35
No reviews yet
In the spirit of reconciliation, Audible acknowledges the Traditional Custodians of country throughout Australia and their connections to land, sea and community. We pay our respect to their elders past and present and extend that respect to all Aboriginal and Torres Strait Islander peoples today.