4. Ukombozi wa Milele (Yohana 8:1-12)
Failed to add items
Add to basket failed.
Add to Wish List failed.
Remove from Wish List failed.
Follow podcast failed
Unfollow podcast failed
-
Narrated by:
-
By:
About this listen
Yesu alitupatia ukombozi wa milele. Hakuna mtu katika dunia hii ambaye hawezi kukombolewa ikiwa anamuamini Yesu kama Mkombozi wake. Yesu alitukomboa sisi sote. Ikiwa kuna mwenye dhambi anayehangaika kutokana na dhambi zake, ni kwa sababu hajaelewa jinsi Yesu alivyowatoa kutoka kwa dhambi zote kwa kupitia ubatizo Wake.
Sote tunapaswa kufahamu na kuamini siri ya wokovu. Yesu alichukua dhambi zetu zote kwa ubatizo Wake na amebeba hukumu kwa dhambi zetu kwa kufa msalabani.
Unapaswa kuamini wokovu wa maji na wa Roho; ukombozi wa milele kutoka kwa dhambi zote. Unapaswa kuamini upendo Wake mkubwa ambao tayari umekufanya kuwa mtu mwenye haki. Amini kile alichofanya kwa ajili ya wokovu wako katika Mto Yordani na msalabani.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35