2. Ukristo Bandia na Uzushi Ndani ya Ukristo (Isaya 28:13-14) cover art

2. Ukristo Bandia na Uzushi Ndani ya Ukristo (Isaya 28:13-14)

2. Ukristo Bandia na Uzushi Ndani ya Ukristo (Isaya 28:13-14)

Listen for free

View show details

About this listen

Wapo waandishi bandia wa makala nyakati hizi hasa katika nchi zilizoendelea. Hujifanya kuwa waandishi wa makala huku wakiwa na nia ya kujipatia vipato toka kwa walengwa wa makala hizo, kwa kuwatishia kutoboa siri zao. Neno bandia maana yake ni kitu au jambo lenye kuonekana kuwa ni halisi hali si kweli. Kwa maneno mengine, lina maana kwa kitu au jambo ambalo ukweli wake ni tofauti na mwonekano wa nje.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

What listeners say about 2. Ukristo Bandia na Uzushi Ndani ya Ukristo (Isaya 28:13-14)

Average Customer Ratings

Reviews - Please select the tabs below to change the source of reviews.

In the spirit of reconciliation, Audible acknowledges the Traditional Custodians of country throughout Australia and their connections to land, sea and community. We pay our respect to their elders past and present and extend that respect to all Aboriginal and Torres Strait Islander peoples today.